Roma Mkatoliki,TMK Wanaume wanogesha bonanza Grand Malt & Vita Malt Coco Beach jijini dar leo
Msanii
mkali wa Muziki wa Hip Hop hapa nchini,Roma Mkatoliki akitoa burudani
kabambe kwa washabiki wake walikuwa wamefukika kwa wingi katika viwanja
vya Fukwe ya Coco Beach,jijini Dar es Salaam jioni ya leo ikiwa ni
bonanza la vinywaji visivyo na kilevu vya Grand Malt na Vita Malt kutoka
kampuni ya bia Tanzania (TBL).
Wasanii
wa Kundi la TMK Wanaume Family,Chegge na Temba wakifanya vitu vyao
wakati wa Bonanza na Grand Malt na Vita Malt,kwenye viwanja vya Fukwe ya
Coco Beach jijini Dar es Salaam leo.
Bibi.
Cheka kutoka TMK wanaumeeee akichana ile michano ya kifree style mbele
ya umati wa watu uliokuwa umefurika kwenye viwanja vya fukwe ya Coco
Beach,jijini Dar es Salaam leo.
Jukwaa la ukweli na lakisasa ndilo lililokuwa limefungwa leo.
BOFYA HAPA KUPATA UHONDO WA MAPICHA KEDEKEDE
BOFYA HAPA KUPATA UHONDO WA MAPICHA KEDEKEDE
Post a Comment