HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » Askari mwingine auwawa Zanzibar

Nimepokea simu toka Zanzibar kuhusu kuuwawa kwa askari mwingine. Ni habari za kusikitisha ingawa sio rasmi sana ila  ni za uhakika , inasemakana askali mwingine wa kike ameuwawa jana mida usiku akitokea kazini , mazingira ya kifo hayana tofauti na kifo cha askali aliyeuwawa juzi huko Zanzibar! hadi sasa hakuna aliyeshikwa wala kuhusishwa na tukio hilo.

       CHANZO:http://chingaone.blogspot.com

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: