HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » AJARI ZA BARABARANI JIJINI MBEYA ZAWA TISHIO NI BAADA YA LEO ASUBUHI COSTA KUPARAMIA NGUZO YA TAA

Gari aina ya Costaleo alfajiri imeparamia nguzo mbili za taa za barabarani eneo la barabara kuu iendayo Zambia ajari hiyo imesababishwa na mwendo kasi wa dereva alikuwa anawahi abilia kituo cha Mwanjelwa na Uyole
  Katika basi hilo hakuna aliyejeruhiwa ila dereva kakimbia kukwepa mkono wa sheria
 
Hizi ndizo nguzo za taa za barabarani zilizogongwa na basi hilo asubuhi ya leo

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: