HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » Barack Obama Aibuka Mshindi Katika Uchaguzi wa Urais Nchini Marekani

barack obama nomination 
Rais Barack Obama akifurahi baada ya kutangazwa mshindi wa urais wa Marekani

 Rais Obama na wafuasi wake
Barack Obama DNC Speech - P 2012
Obama akitoa SPEECH huko Charllotte 
barack michelle hug 
 Barack Obama akimhug mke wake 
barack obama speech  
Barack Obama akiwa na familia yake baada ya kutangazwa mshindi

 
joe biden proposal
Vice-president, Joe Biden 
jill biden marriage
                                                         Jill Biden, mke wa Vice-president
 
Mit Romney mwenyewe alikubali kushindwa na kumtakia kila la kheri Barack Obama katika kukabiliana na matatizo yanayozonga nchi hiyo ikiwemo uchumi mbovu na ukosefu wa ajira
Mitt Romney mwenyewe alikubali kushindwa na kumtakia kila la kheri Barack Obama katika kukabiliana na matatizo yanayozonga nchi hiyo ikiwemo uchumi mbovu na ukosefu wa ajira
...................................................................................... 
Baadhi ya Wamarekani wakionesha hisia zao baada ya Barack Obama kushinda kiti cha urais

 
 

. delegates dance 
delegates dance
delegates dance 
delegates dance 
Wamarekani wanasifika kwa kuwa na uzalendo wa hali ya juu na hivyo umedhihirika katika uchaguzi huu 
Wamarekani wanasifika kwa kuwa na uzalendo wa hali ya juu na hivyo umedhihirika katika uchaguzi huu
 
Na huko Kenya mambo hayakulala
  
 Rais Barack Obama ameshinda katika majimbo ambayo yalikuwa muhimu sana kubaini mshindi wa uchaguzi huu ambayo ni Michigan na Pennsylvania, pamoja na mengine ambayo alishinda katika uchaguzi wa mwaka 2008. Obama ameshinda kwa 303 na mpinzani wake Romney kwa 206 kutoka kwenye majimbo yote wakati ili kushinda uchaguzi wa Marekani, mgombea anahitaji kupata angalau kura 270 katika majimbo yote.
 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: