Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal
akisalimiana na Balozi wa CUBA Nchini Jorge Lois Lopez Tormo, wakati
Balozi Tormo alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Dar es salaam
leo kwa ajili ya kumsalimia. kwenye mazungumzo yao viongozi hao
walisisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa muda mrefu
kati ya Nchi mbili hizi. Aidha Balozi Tormo aliipongeza Serikali kwa
kuzindua mradi wa ujenzi wa Bomba la Gesi kutoka mtwara hadi Dar es
salaam na kusema kuwa hatua hiyo inaiwezesha Tanzania kuwa ni Nchi yenye
nguvu kiuchumi katika Bara la Afrika miaka michache ijayo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal
akizungumza na Balozi wa CUBA Nchini Jorge Luis Lopez Tormo wakati
Balozi huyo alipofika Ikulu Dar es salaam leo kwa ajili ya kumsalimia.
katika mazungumzo yao viongozi hao walisisitiza umuhimu wa kuimarisha
uhusiano na ushirikiano wa muda mrefu kati ya Nchi mbili hizi. Aidha
Balozi Tormo aliipongeza Serikali kwa kuzindua mradi wa ujenzi wa Bomba
la Gesi kutoka mtwara hadi Dar es salaam na kusema kuwa hatua hiyo
inaiwezesha Tanzania kuwa ni Nchi yenye nguvu kubwa kiuchumi katika Bara
la Afrika miaka michache ijayo.Picha na OMR.
No comments:
Post a Comment