Mlau
wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Profesa Bertha Koda akiongoza
wanataaluma katika Mahafali ya tano ya Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu
Dar es Salaam yaliyofanyika Jumamosi 10, Novemba 2012. Jumla ya wahitimu
886 walihitimu ambapo 712 walitunukiwa Shahada ya kwanza ya Elimu ya
Jamii na Ualimu, 39 Shahada ya kwanza ya Elimu katika Elimu ya Jamii, 33
Shahada ya kwanza ya Elimu katika Sayansi na 102 Shahada ya kwanza ya
Sayansi na Ualimu.
Viongizi
wakuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakiwa tayari kwa ya Mahafali ya
tano ya Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam.
Mheshimiwa
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Balozi Fulgence Kazaura
akiwatunukia shahada wahitimu katika Mahafali ya tano ya Chuo Kikuu
Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam yaliyofanyika Jumamosi 10, Novemba
2012.
wahititimu
wakiwa katika Mahafali ya tano ya Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar
es Salaam yaliyofanyika Jumamosi 10, Novemba 2012.
Afisa
Uhusiano Mwandamizi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam
Abdul Njaidi (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wanataaluma vijana
wa chuo hicho.
CHANZO: MICHUZI BLOG
No comments:
Post a Comment