HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MANGULA ,DKT SHEIN WAMFUNIKA DKT KIKWETE KWA KURA ,WAO WASHINDA KIKWETE APINGWA

               Makamu mpya  wa CCM Tanzania bara Bw Philip Mangula,aliyepita  bila kupingwa  leo azoa kura  zote(2397) zilizopigwa   sanjari na makamu  wa Zanzibar Dr Ally Mohamed Shein aliyepata  kura zote za ndio 2397 huku mwenyekiti  wao wa CCM Taifa  Dkt Jakaya  Kikwete akipata kura 2395 kati ya kura 2397  zilizopigwa huku  wajumbe  wawili  wakimpinga kuwa fafai  kuendelea  kuwa mwenyekiti wa CCM.

Rais Jakaya Kikwete akiwa ndani ya banda la Gazeti la Uhuru na Mzalendo na amefarijika sana kuona gazeti hilo kongwe la chama kuendelea kuwa moja ya magazeti bora nchini,kushoto ni Mhariri Mtendaji,Josiah Mfungo.

 Mgombea wa Uenyekiti wa CCM, Taifa, Rais Jakaya Kikwete akipiga kura kuchagua wakati wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM Taifa, jioni hii, kwenye ukumbi wa Kizota, Dodoma. Kulia ni   Philip Mangula ambaye ameshinda kwa  kishindo leona watatu kulia ni Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni.

Huku  msimamizi  wa uchaguzi huo Spika Anne Makinda akitangaza  washindi kura nafasi ya NEC Bara  kuwa ni pamoja na 
Dr Fenela Nkangala 984
Jackson Msome 1207
Wilison Mukama 1374
Dkt David Matayo David  1414
Benard Membe 1455
Wiliam Lukuvi 1805
Martin Shigera 1824
Mwiguru Mchemba 2012
January Makamba 2093
Stevin wasira 2135
 
CHANZO:http://francisgodwin.blogspot.com 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: