Godrey Kato akiimba wiki hii mbele ya majaji.
Godfrey Kato
na Husna Nassor wakiwa katika jukwaa pamoja katika performance ya husna.
Nsami Nkwabi akicheza na kuimba.
Nshoma
akipiga ngoma huku akiimba na kucheza.
Salma Yusuf
akiingia katika jukwaa
Wababa Mtuka akifungukaa.
Walter Chilambo akiimba mbele ya majaji na wageni waalikwa.
Nshoma baada
ya kuambiwa kaingia top five
Fainali za EBSS kufanyika ijumaa hii tarehe 9 ndani ya Diamond Jubilee
Bei za Ticket: VVIP (Tsh 70,000/=), VIP (Tsh 30,000/=), Kawaida (Tsh 10,000/=) - Kufanya booking piga namba: +255 778 952 795
TICKETS ZINAPATIKANA:
1. SHEAR ILLUSIONS – MLIMANI CITY
2. BIGGY RESPECT- KARIAKOO
3. STEERS- MJINI (CITY CENTRE)
4. ZIZZOU FASHION (VICTORIA & SINZA)
5. PHOTOPOINT- MAYFAIR PLAZA
3. STEERS- MJINI (CITY CENTRE)
4. ZIZZOU FASHION (VICTORIA & SINZA)
5. PHOTOPOINT- MAYFAIR PLAZA
6. ROBY ONE FASHIONS (KINONDONI)
7. BEST BITE
8. SAMAKI SAMAKI- MBEZI
9. DIAMOND JUBILEE HALL
7. BEST BITE
8. SAMAKI SAMAKI- MBEZI
9. DIAMOND JUBILEE HALL
Wanamuziki wafuatao watakuwepo kuwapa burudani siku ya Fainali za EBSS.
1.
RICH MAVOKO
2. OMI DIMPLES
3. BEN POL
4. LINA
5. AMINI
6. MZEE YUSUF
7. HAJI
RAMADHAN
8. MWASITI
9. DITTO
10. LAILA RASHID
11. LINEX
12. BARNABA
Fans
wa ukurasa wa EBSS kwenye Facebook wanaweza kujishindia ticket mbili
kila mmoja kwa kujibu maswali yatakayoulizwa katika ukurasa huo.
No comments:
Post a Comment