![]() |
| Mtoto Aneth katikati akiwa na mama yake kulia wakiingia mahakamani leo |
![]() |
| Wilviina Mkandala anayetuhumiwa kwa kumuunguza na kusababisha mtotoAneth kukatwa mkono akiingizwa mahakamani |
![]() |
| Wakazi wa mbeya na vitongoji vyake wamejitokeza kwa wingi kusikiliza kesi ya mtoto Aneth |
![]() |
| Mtoto Aneth akisalimiana na mama aliyekumuhudumia hospitalini kabla mama yakemzazi kuja kutoka Bukoba |
![]() |
Mtoto Aneth mara baada ya kutoka katika chumba cha mahakama akisubili kurudishwa katika hospitali ya Rufaa kuendelea na matibabu |
![]() |
| HUKU AKINA MAMA WAKIWA NA JAZBA YA KUTAKA HAKIMU AWAACHIE KIDOGO JAPO KWA DAKIKA TANO WAMFUNZE ADABU MTUHUMIWA HUYO KWANI WANADAI AMEWADHALILISHA SANA KWA KITENDO HICHO CHA KUMTESA MTOTO ANETH |
![]() |
| Wanahasir hao wanatamani wapewe hata dakika 5 tu hapa kazi ipo |











No comments:
Post a Comment