HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » Mwili wa msanii wa Bongo Movie Marehemu John Maganga wazikwa Leo

 
Mwili wa marehemu ukiwa ndani ya jeneza.
 
Padri  Evodius Miku wa Parokia ya Mwananyamala akinyunyiza maji ya baraka kwenye jeneza.
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM,  Nape Nnauye akitoa salam za Chama, kwenye msiba wa msanii, Joseph Maganga, Mwananyamala, Dar es salaam. Maganga alifariki Jumamosi hii
 
Dada wa marehemu, Janeth (katikati) akilia kwa uchungu.

 Nape (kulia) akiwa kwenye msiba huo

  Wasanii wa Bongo Movie wakibeba jeneza lenye mwili wa msanii mwenzao, John Maganga, wakati wa kuaga mwili huo, Mwananyamala, Dar es Salaam

 
Baba wa marehemu, Stephano Maganga (kulia), akiwa na uso wa huzuni.


  Msanii wa Bongo Movie,  Husna Maulidi 'Lishez', akitulizwa na wenzake, Babby Candy na  Ketty wakati akilia kwa uchungu, wakati wa kuaga mwili wa Msanii wa Bongo Movie, marehemu  John Maganga
 
          Waombolezaji wakifuatilia tukio hilo.

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimpa pole Stephen Maganga, baba wa msanii John Maganga wakati wa kuaga mwili wa msanii huyo, Mwananyama, Dar es salaam
Nape akizungumza na Rais wa Chama Cha Bongo Movie wakati wa msiba huo

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: