HUYU NDIYE PADRI ALIYEPIGWA RISASI USIKU WA SIKU KUU YA KRISMAS VISIWANI ZANZIBAR
Padri Ambrose Mkenda akiwa hospitalini.
Ambapo kwa mujibu wa taarifa hizo zinasema hali ya padri huyo si nzuri
kwani risasi hiyo ilimpata maeneo ya mdomoni na kwamba kuna uwezekano wa
kuhamishiwa bara kwa matibabu, huku watu waliofanya kitendo hicho
wanadaiwa walikuwa wamepanda pikipiki wakiwa nje ya nyumba ya padri huyo
wakisubiria afunguliwe geti kuingia nyumbani kwake. Hayo yanafanyika
wakati ambao kanisa hilo duniani likiwa limetoa ujumbe wake mkuu wa
Krisimasi usemao ''Upendo na Amani''.
Picha kwa hisani ya jamiiforum.com
Post a Comment