WATOTO WAJIACHIA KWA MICHEZO MBALIMBALI NDANI YA DAR LIVE KUSHEREKEA X-MAS
Pichani
juu ni taswira mbalimbali za watoto wakijiachia ndani ya Dar Live , kabla ya Ndonga za mwaka kuanza kati ya mabondia Mbwana
Matumla na David Charanga kutoka Kenya, bondia Mada Maugo na Yiga Juma
wa Uganda na Bahati Mwafyela atakayechapana na Chupaki Chipindi. Baada
ya ndondi hizo wakali Diamond Platinumz na Ommy Dimpoz watashusha shoo bab kubwa ndani ya ukumbi huo..
Post a Comment