LEO katika ukurasa huu wa habari za Afrika
tunakuletea matukio muhimu ambayo yalitawala katika vyombo mbalimbali
vya habari ndani ya mwaka huu kuanzia mwezi Januari.
Ikiwa wewe ni mfuatiliaji wa habari za Afrika
hakika utakuwa umesikia mambo mengi yaliyotokea katika nchi mbalimbali
za Afrika ikiwa ni pamoja na mauaji katika nchi zilizoingia katika
machafuko ya muda au muda mrefu.
Mengine yaliyotokea ni baadhi ya wanajeshi kuamua
kuwaondoa kinguvu viongozi waliopo madarakani na kuzitawala nchi hizo
kimabavu.
Afrika Kusini
Miongoni mwa matukio ambayo yalijiri katika nchi hizo tukianzia na Afrika ya Kusini, Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma alitangaza maombolezo nchini humo kutokana na mauaji ya wachimbaji madini 38 yaliyosababishwa na polisi wakati wakiandamana kudai kuongezewa mishahara, tukio ambalo lilihuzunisha watu wengi Afrika.
Pia Ellinah Wamukoya ameteuliwa kuwa askofu wa kwanza wa kike wa Kanisa la Anglikana barani Afrika.
Akiongea muda mfupi baada ya kuteuliwa Ellinah Wamukoya alisema kwamba uamuzi huo umeonesha heshima kubwa kwa kina mama.
Akiongea muda mfupi baada ya kuteuliwa Ellinah Wamukoya alisema kwamba uamuzi huo umeonesha heshima kubwa kwa kina mama.
Tukio lingine kubwa kwa Afrika ni kuhusu mwana
mama Ellinah Wamukoya (61) sasa atakuwa kama askofu mpya wa kanisa hilo
katika ufalme wa Swaziland, moja wapo ya nchi zinazokisiwa kufuata
siasa za kihafidhina.
Kutawazwa kwake kumejiri huku Kanisa la Anglikana,
likitarajiwa kujadili ikiwa kina mama wataruhusiwa kuapishwa kuwa
maaskofu wa kanisa hilo.
Askofu wa Jimbo la Captetown, nchini Afrika Kusini, amesema kuwa wamechukua uamuzi huo ili wawe mfano kwa wengine na pia kuwatakia, viongozi wa kanisa hilo, faraja na hekima ili kujadilia suala hilo kwa haraka.
Askofu wa Jimbo la Captetown, nchini Afrika Kusini, amesema kuwa wamechukua uamuzi huo ili wawe mfano kwa wengine na pia kuwatakia, viongozi wa kanisa hilo, faraja na hekima ili kujadilia suala hilo kwa haraka.
Kwa mujibu wa ripoti aliyotuma kwa vyombo vya
habari, askofu huyo wa Jimbo la Capetown, Revd. Thabo Makgoba, amesema
wimbi kwa sasa linavuma na kuwa wameshuhudia tukio la kihistoria ambao
ni sawa na mbingu kufunguka.
David Dinkebogile aliongoza sherehe hizo na
kukariri kuwa nia yao kuwa ilikuwa kumwapisha askofu na wale siyo mtu
mweusi, mwafrika na raia wa Swaziland.
Askofu Wamukoya ni meya wa zamani wa mji mkuu wa Swaziland Manzini.
Askofu Wamukoya ni meya wa zamani wa mji mkuu wa Swaziland Manzini.
Somalia
Mwaka huu Wabunge wa Somalia waliandika historia ya nchi hiyo, baada ya kufanya uchaguzi uliotawaliwa na amani na kumchagua Hassan Sheikh Mohamud kuwa Rais wa nchi hiyo.
Waliopiga kura hizo ni wabunge pekee ambapo kulikuwa na wagombea 12 wa kinyanganyiro hicho cha kuongoza taifa hilo ambalo linakabiliwa na machafuko ya amani.
Licha ya Mataifa mbalimbali kuipongeza Serikali ya
Somalia, kwa kufanya uchaguzi wa amani baada ya kipindi kirefu, Kundi
la Al-Shabaab limesema kwamba haliwezi kuitambua serikali hiyo.
Pia Al-Shabaab wameanza kuuza nyama ya fisi
katika mji wa Bandari Kusini mwa Somalia, kama njia ya kukusanya pesa
kwa ajili ya kuendesha oparesheni zake za kijeshi.
Mali
Tukio jingine la kihistoria nchini Mali ni lile la wanajeshi nchini humo walipozingira Ikulu ya nchi hiyo na kumwondoa Rais wao madarakani.
Guinea- Bissau
Biashara ya dawa za kulevya imedaiwa kushamiri katika nchi ya Guinea Bissau, tangu kufanyika kwa mapinduzi mwezi Aprili 12, mwaka huu.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilionyesha wasiwasi wake juu ya kuongezeka kwa biashara ya hiyo nchini hapo.
Baraza hilo liliwataka viongozi nchini humo kurejesha utawala wa kikatiba ili kuinusuru na janga la dawa kuzagaa kwa dawa hizo nchini hapo.
Sudan
Wizara ya Afya nchini Sudan ilitangaza kuwa homa ya Manjano ilisababisha vifo vya watu zaidi ya 32 nchini humo.
Ugonjwa huo ambao awali haukujulikana kama ndiyo ulikuwa chanzo cha vifo hivyo ulisambaa katika miji mikuu ya nchi hiyo ya Darfur na Khartoum.
Ivory Coast
Rais wa Ivory Coast Alassane Outtara, alilivunja Baraza la Mawaziri la nchi hiyo kutokana na mzozo wa sheria ya ndoa.
Chama cha Rais Outtara, kiliunga mkono sheria hiyo lakini viongozi wa upinzani walioko serikalini waliupinga.
KONGO
Wapiganaji wa Kundi la M23 katika Jumhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, waliuthibiti Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Goma.
Algeria
Rais mstaafu wa Algeria ambaye ameiongoza nchi hiyo kwa kwa miaka mingi, Chadli Bendjedid, amefariki dunia.
Chadli ambaye anasifika kwa kuanzisha mfumo wa utawala wa kidemokrasia katika taasisi za kiserikali nchini humo, ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 83. Kwa mujibu wa taarifa Bendjadid, aliaga dunia kutokana na maradhi ya saratani baada ya kulazwa katika Hospitali ya kijeshi ya Ain Naajda mjini Algiers.
Zimbabwe
Taarifa kutoka nchini Zimbabwe zilisema kwamba mchakato wa kuandaa maoni ya kura mpya huenda usifanikiwe kutokana na kutokuwa na pesa za kutosha nchini Zimbabwe.
Tume ya Uchaguzi ya Zimbabwe ZEC licha ya kwamba iko mbioni kuandaa kura ya maoni kuhusu katiba mpya imekiri kwamba huenda isifanikiwe kutokana na uhaba mkubwa wa fedha.
Pia mwaka huu Waziri Mkuu wa nchini humo Morgan Tsvangirai sasa ameweka wazi kuwa ndoa yake na Elizabeth Macheka itafungwa Septemba 15.
Ethiopia
Kufariki kwa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Meles Zenawi, ambapo Mamia ya waombolezaji walijitokeza kuupokea mwili wa kiongozi wao uliowasili kwa ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia, ukitokea Brussels, Ubelgiji.
Liberia
Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf, amemsimamisha kazi mmoja wa watoto wake wa kiume kutoka ngazi ya unaibu gavana wa benki kuu ya nchi hiyo na vigogo wengine watano kwa kushindwa kuorodhesha mali zake katika tume ya kuzuia rushwa nchini humo.
Rais huyo alilazimika kumfuta kazi mtoto wake huyo anayefahamika kwa jina la Charles Sirleaf, aliyetajwa kuwa ni miongoni mwa maofisa 46 walioshindwa kuorodhesha mali zao.
Mexico
Rais mpya wa Mexico Enrique Pena Nieto ameanza kazi ya kuongoza nchi hiyo Juzi Jumamosi, akitoa uwezekano wa kukisafisha chama chake cha Institutional Revolutionary Party PRI, ambacho kimetawala nchini humo kwa muda mrefu.
Malawi
Malawi inapata Rais mpya wa kike ,Joyce Banda ambaye baada ya kupata wadhifa huo alimfuta kazi Waziri wa Mambo ya nje Peter Mutharika, kaka yake Marehemu Rais Bingu Wa Mutharika aliyefariki dunia mwaka huu.
Ghana
Rais wa Ghana John Atta Mills amefariki ghafla wakati akipata matibabu. Taarifa kutoka ofisi ya rais zilisema kuwa alifariki ghafla baada ya kupelekwa hospitali.
Burkina Faso
Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso amesema nchi yake iko tayari kushiriki katika oparesheni ya kijeshi Kaskazini mwa Mali. Waziri huyo Jibril Bassole alisisitiza juu ya kukombolewa eneo la kaskazini mwa Mali na kusema kuwa wanajeshi wa Burkina Faso wako tayari kushiriki kwenye operesheni hiyo.
Nigeria
Pia mwaka huu nchini Nigeria mengi yaliweza kutokea miongoni mwa hayo ni kuhusu wapiganaji wa Boko Haram, waliwaua Wanafunzi 40 kwa kuwapiga kwa risasi. Mauaji hayo ya kusikitisha yalifanyika katika eneo la Mubi, Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.
Pia mwaka huu nchini Nigeria mengi yaliweza kutokea miongoni mwa hayo ni kuhusu wapiganaji wa Boko Haram, waliwaua Wanafunzi 40 kwa kuwapiga kwa risasi. Mauaji hayo ya kusikitisha yalifanyika katika eneo la Mubi, Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.
Tukio jingine la kuvunja amani nchini humo ni lile
watu wenye silaha waliokuwa wamepanda pikipiki, kushambulia nyumba ya
Makamu wa Rais wa Nigeria, Namadi Sambo eneo la Zaria katika jimbo la
Kaskazini la Kaduna. Pia Zaidi ya watu milioni mbili nchini Nageria
mwaka huu waliathiriwa na mafuriko ya mvua ambayo ilinyesha katika nchi
hiyo.
Mafuriko hayo mabaya ambayo kwa mara ya mwisho yalitokea miaka 50 iliyopita, yalisababisha wananchi kuhama makazi yao na kutafuta maeneo mengine ya kujihifadhi.
Mafuriko hayo mabaya ambayo kwa mara ya mwisho yalitokea miaka 50 iliyopita, yalisababisha wananchi kuhama makazi yao na kutafuta maeneo mengine ya kujihifadhi.
Mali
Tukio jingine la kihistoria nchini Mali ni lile la wanajeshi nchini humo walipozingira Ikulu ya nchi hiyo na kumwondoa Rais wao madarakani.
Baada ya kufanya hivyo walipitisha Serikali ya mpito ambayo waliikabidhi madaraka.
Kutokana na hali hiyo Shirika la Kimataifa la Amnesty lilisema kwamba sasa Mali inaelekea kuingia kwenye mgogoro wa haki za binadamu.
Shirika hilo lilisema kwamba Jeshi limekuwa likijihusisha na uamuzi wa mauaji, mateso na udhalilishaji wa kijinsia tangu mapinduzi ya mwezi Machi.
Kutokana na hali hiyo Shirika la Kimataifa la Amnesty lilisema kwamba sasa Mali inaelekea kuingia kwenye mgogoro wa haki za binadamu.
Shirika hilo lilisema kwamba Jeshi limekuwa likijihusisha na uamuzi wa mauaji, mateso na udhalilishaji wa kijinsia tangu mapinduzi ya mwezi Machi.
Guinea- Bissau
Biashara ya dawa za kulevya imedaiwa kushamiri katika nchi ya Guinea Bissau, tangu kufanyika kwa mapinduzi mwezi Aprili 12, mwaka huu.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilionyesha wasiwasi wake juu ya kuongezeka kwa biashara ya hiyo nchini hapo.
Baraza hilo liliwataka viongozi nchini humo kurejesha utawala wa kikatiba ili kuinusuru na janga la dawa kuzagaa kwa dawa hizo nchini hapo.
Sudan
Wizara ya Afya nchini Sudan ilitangaza kuwa homa ya Manjano ilisababisha vifo vya watu zaidi ya 32 nchini humo.
Ugonjwa huo ambao awali haukujulikana kama ndiyo ulikuwa chanzo cha vifo hivyo ulisambaa katika miji mikuu ya nchi hiyo ya Darfur na Khartoum.
Ivory Coast
Rais wa Ivory Coast Alassane Outtara, alilivunja Baraza la Mawaziri la nchi hiyo kutokana na mzozo wa sheria ya ndoa.
Chama cha Rais Outtara, kiliunga mkono sheria hiyo lakini viongozi wa upinzani walioko serikalini waliupinga.
KONGO
Wapiganaji wa Kundi la M23 katika Jumhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, waliuthibiti Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Goma.
Wapiganaji hao walifanikiwa kuuthibiti uwanja huo baada ya mapigano makali yaliyofanyika dhidi ya vikosi vya jeshi la nchi hiyo.
Katika mapigano hayo ambayo yalisababisha vifo vya watu na baadhi yao kuyakimbia maeneo yao na kuelekea kusikojulikana wakihofia usalama wao.
Katika mapigano hayo ambayo yalisababisha vifo vya watu na baadhi yao kuyakimbia maeneo yao na kuelekea kusikojulikana wakihofia usalama wao.
Algeria
Rais mstaafu wa Algeria ambaye ameiongoza nchi hiyo kwa kwa miaka mingi, Chadli Bendjedid, amefariki dunia.
Chadli ambaye anasifika kwa kuanzisha mfumo wa utawala wa kidemokrasia katika taasisi za kiserikali nchini humo, ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 83. Kwa mujibu wa taarifa Bendjadid, aliaga dunia kutokana na maradhi ya saratani baada ya kulazwa katika Hospitali ya kijeshi ya Ain Naajda mjini Algiers.
Zimbabwe
Taarifa kutoka nchini Zimbabwe zilisema kwamba mchakato wa kuandaa maoni ya kura mpya huenda usifanikiwe kutokana na kutokuwa na pesa za kutosha nchini Zimbabwe.
Tume ya Uchaguzi ya Zimbabwe ZEC licha ya kwamba iko mbioni kuandaa kura ya maoni kuhusu katiba mpya imekiri kwamba huenda isifanikiwe kutokana na uhaba mkubwa wa fedha.
Pia mwaka huu Waziri Mkuu wa nchini humo Morgan Tsvangirai sasa ameweka wazi kuwa ndoa yake na Elizabeth Macheka itafungwa Septemba 15.
Ethiopia
Kufariki kwa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Meles Zenawi, ambapo Mamia ya waombolezaji walijitokeza kuupokea mwili wa kiongozi wao uliowasili kwa ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia, ukitokea Brussels, Ubelgiji.
Zambia
Rais wa msaafu wa Zambia Keneth Kaunda amelazwa hospitalini wakati mkewa akiwa bado hajazikwa.
Rais wa msaafu wa Zambia Keneth Kaunda amelazwa hospitalini wakati mkewa akiwa bado hajazikwa.
Taarifa kutoka kwa familia ya Kaunda zilisema
kwamba Kaunda alizidiwa ghafla wakati wa maombolezo ya mkewa Betty,
Taarifa zilisema kwamba Kaunda alikimbizwa hospitalini huku mkewe akiwa
hajazikwa na huku bado watu wakiwa katika maombolezo kanisani.
Liberia
Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf, amemsimamisha kazi mmoja wa watoto wake wa kiume kutoka ngazi ya unaibu gavana wa benki kuu ya nchi hiyo na vigogo wengine watano kwa kushindwa kuorodhesha mali zake katika tume ya kuzuia rushwa nchini humo.
Rais huyo alilazimika kumfuta kazi mtoto wake huyo anayefahamika kwa jina la Charles Sirleaf, aliyetajwa kuwa ni miongoni mwa maofisa 46 walioshindwa kuorodhesha mali zao.
Mexico
Rais mpya wa Mexico Enrique Pena Nieto ameanza kazi ya kuongoza nchi hiyo Juzi Jumamosi, akitoa uwezekano wa kukisafisha chama chake cha Institutional Revolutionary Party PRI, ambacho kimetawala nchini humo kwa muda mrefu.
Malawi
Malawi inapata Rais mpya wa kike ,Joyce Banda ambaye baada ya kupata wadhifa huo alimfuta kazi Waziri wa Mambo ya nje Peter Mutharika, kaka yake Marehemu Rais Bingu Wa Mutharika aliyefariki dunia mwaka huu.
Ghana
Rais wa Ghana John Atta Mills amefariki ghafla wakati akipata matibabu. Taarifa kutoka ofisi ya rais zilisema kuwa alifariki ghafla baada ya kupelekwa hospitali.
Kwa sasa nafasi yake hiyo imechukuliwa na John
Dramani Mahama Kiongozi mpya wa Ghana John Dramani Mahama ameahidi
kuimarisha hali ya utulivu nchini humo.
Burkina Faso
Waziri wa Mambo ya Nje wa Burkina Faso amesema nchi yake iko tayari kushiriki katika oparesheni ya kijeshi Kaskazini mwa Mali. Waziri huyo Jibril Bassole alisisitiza juu ya kukombolewa eneo la kaskazini mwa Mali na kusema kuwa wanajeshi wa Burkina Faso wako tayari kushiriki kwenye operesheni hiyo.
Burkina Faso, Niger na Mauritania ni nchi jirani
na Mali ambazo zimeathirika zaidi na mgogoro wa kisiasa, kibinadamu na
kiusalama huko kaskazini mwa nchi hiyo.
Kamisheni ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa ilitoa mamilioni ya dola kwa ajili ya kuwahifadhi wakimbizi tangu mwanzoni mwa mwaka huu baada ya raia wa kaskazini mwa Mali kulikimbia eneo hilo na kuelekea katika nchi jirani.
MWANANCHI
Kamisheni ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa ilitoa mamilioni ya dola kwa ajili ya kuwahifadhi wakimbizi tangu mwanzoni mwa mwaka huu baada ya raia wa kaskazini mwa Mali kulikimbia eneo hilo na kuelekea katika nchi jirani.
MWANANCHI



No comments:
Post a Comment