BREAKING NEWZZZ: MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA ST. JOHN AMEKUTWA AMEFARIKI USIKU WA KUAMKIA LEO
Mwanachuo wa Chuo Kikuu cha St. John kilichopo Dodoma amekutwa amefariki maeneo ya chuo hicho baadhi ya mashuuda waliokuwa wamefika katika eneo la tukio wanasema inasemekana amebakwa mpaka kufa. Mwili wa mwanafunzi huyo umepelekwa Hospitali ya Rufaa ya General iliyoko mkoa wa Dodoma kwa uchunguzi.
Licha ya kulitupia lawama jeshi la polisi baadhi ya mashuhuda wanadai kuwa baada ya kufikwa na mkasa huo uliositisha safari ya maisha yake mwili wa marehemu Lidya uliharibiwa vibaya na mnyama asiyejulikana kwa kunyofolewa macho,masikio,pua,mguu na viuno vingine.
Prof.Gabriel Mwaluko ni makamu mkuu wa Chuo na Karimu Meshack ni afisa habari ambao kwa pamoja wanaelezea kilichorjiri.
Kutokana na shutuma za uzembe dhidi ya jeshi hilo Kamanda wa mkoa ACP David Misime anawataka wakazi wa mkoa huo kuimarisha ulinzi shirikishi kwa lengo la kuwabaini wahalifu.
Wakati huo huo Kamanda Misime anasema msako mkali umeanza wa kuwatia nguvuni waliohusika na ukatili huo ili waweze kufikishwa kwenye mikono ya sheria kwa ajili ya hukumu.
JESHI la polisi mkoani Dodoma
limeshutumiwa kwa kushindwa kuimarisha ulinzi katika baadhi ya maeneo
mkoani humo hatua inayodaiwa kuchangia kuaawa kinyama kwa mwanafunzi wa
Chuo Kikuu cha St. John na watu wasiojulikana.
Marehemu Lidya mwenye umri wa miaka 57 anadaiwa kuuawa siku ya jumapili hii majira ya saa nne za usiku pembezoni mwa maeneo ya chuo hicho chenye wanafunzi 5500 akiwa anarejea nyumbani baada ya masomo ya jioni.
Ni
simanzi,vilio,huzuni na majonzi katika vyunga vya chuo hiki kufuatia
tukio hili la kusikitisha ambalo linadaiwa kuyaweka katika mashaka na
wasiwasi mkubwa maisha ya wanafunzi hawa.Marehemu Lidya mwenye umri wa miaka 57 anadaiwa kuuawa siku ya jumapili hii majira ya saa nne za usiku pembezoni mwa maeneo ya chuo hicho chenye wanafunzi 5500 akiwa anarejea nyumbani baada ya masomo ya jioni.
Licha ya kulitupia lawama jeshi la polisi baadhi ya mashuhuda wanadai kuwa baada ya kufikwa na mkasa huo uliositisha safari ya maisha yake mwili wa marehemu Lidya uliharibiwa vibaya na mnyama asiyejulikana kwa kunyofolewa macho,masikio,pua,mguu na viuno vingine.
Prof.Gabriel Mwaluko ni makamu mkuu wa Chuo na Karimu Meshack ni afisa habari ambao kwa pamoja wanaelezea kilichorjiri.
Kutokana na shutuma za uzembe dhidi ya jeshi hilo Kamanda wa mkoa ACP David Misime anawataka wakazi wa mkoa huo kuimarisha ulinzi shirikishi kwa lengo la kuwabaini wahalifu.
Wakati huo huo Kamanda Misime anasema msako mkali umeanza wa kuwatia nguvuni waliohusika na ukatili huo ili waweze kufikishwa kwenye mikono ya sheria kwa ajili ya hukumu.
Kwa habari zaidi tutawajulisha baadae
Post a Comment