LULU APATA DHAMANA RASMI LEO KWA MILLION 40
Msanii
wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akishuka kutoka katika gari
lililomleta leo Mahakama Kuu wakati wa kukamilisha taratibu za kupata
dhamana.
Lulu akiingia Mahakamani huku akisindikizwa na Askari Magereza
Lulu akiingia mahakamani huku akitabasamu.
Lulu akiingia mahakamani.
Lulu akiwa amezungukwa na baadhi ya waandishi wa habari waliotala kufanya nae mahojiano mfupi baada ya kupata dhamana.
Lulu akiangua kilio baada ya kushindwa kuongea na waandishi wa habari waliokusanyika mahakamani hapo.
Lulu akitoka katika lango Kuu la Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam baada ya kupata dhamana.
Lulu akilia wakati akitoka Mahakamani huku nyumba akifuatiwa na mama yake mzazi.
Wasanii nao wallijitokeza mahakamani hapo kumfariji Lulu, kulia ni msanii wa filamu, Muhsin Awadh 'Dk. Cheni'
Lulu akiondoka mahakama hapo.
Wakili anayemtetea Lulu akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi
baada ya mteja wake kupata dhamana katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es
Salaam, leo. Lulu amepata dhamana baada ya kutimiza
masharti ya kuwa na wadhamini wawili ambao ni watumishi wa serikali
waliosaini bondi ya Sh.milioni 20 kila mmoja, kusalimisha hati ya
kusafiria, kutotoka nje ya Dar es Salaam bila ruhusa ya mahakama na
kuripoti kwa msajili kila mwezi. Lulu anakabiliwa na kesi ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa msanii mwenzake marehemu Steven Kanumba.
Lulu na mama yake mzazi wakilia baada ya kukutana nje ya Mahakama, Lulu
amechiwa huru na Mahakama leo january 29 2013 mchana, pembeni ni
mwigizaji Dr. Cheni ambae amekua karibu na familia ya Lulu kwa muda
mrefu sana.
Lulu akitokwa na machozi ya furaha
Lulu akiingia kwenye gari
---
Baada ya jana kushindikana kwa sababu zisizo zuilika hatimaye msanii
maarufu Elizbeth 'Lulu' Michael ametoka kwa dhamana baada ya kutimiza
masharti yote ya dhamana yake yaliyo tolewa na mahakama kuu.
Mara baada yakutoka Lulu alieyeonekana akiwa mwenye majonizi na furaha
kiasi aliomba watanzania wote wamuombee maana hii ni dhamana tu na kesi
yake bado inaendela. Ali washukuru watu wote waliokuwa pamoja nae katika
mkasa huuu amabao bado unamzunguka na pia alimshukuru Mwenyezi Mungu
kwa kuwa pamoja nae katika kipindi chote cha matatizo yanayo mkabili
Wakili wake Ndugu Flugence Massawe amesema kwamba hii ni hatua ya kwanza
kwasababu case bado inaendelea. Kwa sasa wanasubiri mahakama itoe
tarehe ya Lulu kurudi mahakamani.
Post a Comment