Mshambulizi
wa Barcelona na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi ameshinda tuzo
ya Ballon d’Or kwa mwaka wa nne mfululizo. Messi (25) alifunga jumla ya
magoli 91 mwaka wa 2012 na aliwashinda wachezaji wengine Andres Iniesta
wa Barcelona na Christiano Ronaldo wa Real Madrid.
Messi
alikuwa miongoni mwa wachezaji watatu walioteuliwa na jopo la wandishi
wa habari na makocha wa timu za taifa, manaodha wa timu hiyo wakiwa ni
pamoja na Iniesta na Ronaldo.
Messi
alitangazwa mshindi wa tuzo hiyo ya the Ballon d’Or, tuzo ambayo
hukabithiwa mchezaji bora wa mwaka katika sherehe iliyofanyika mjini
Zurich.
Kwasasa Mesi ni mchezaji wa kwanza kuwahi kushinda tuzo hiyo ya Ballons d’Or, kwa miaka minne mfululizo, rekodi anayoshikilia na aliyekuwa mchezaji wa Ufaransa na rais wa UEFA kwa sasa Michel Platini.
Kwasasa Mesi ni mchezaji wa kwanza kuwahi kushinda tuzo hiyo ya Ballons d’Or, kwa miaka minne mfululizo, rekodi anayoshikilia na aliyekuwa mchezaji wa Ufaransa na rais wa UEFA kwa sasa Michel Platini.
Abby Wambach, alishinda tuzo kwa upande wa kina dada
Lionel Messi na Abby Wambach wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kuchukua tuzo za FIFA
Lionel Messi na Abby Wambach wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kuchukua tuzo za FIFA
Vicente del Bosque, akituzwa kuwa kocha bora.
Kama utaki ni wewe kijana kaishafanya ya kwake



No comments:
Post a Comment