HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » POLISI WAMPA KICHAPO JAMAA BAADA YA KUKATAA KUTII AMRI NA KUWEKWA CHINI YA ULINZI

Kijana ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja jana alijikutana kwenye wakati mgumu baada ya kupokea kichapo kutoka kwa askari wa jeshi la polisi maeneo ya kigamboni mbele ya geti la Chuo Cha Mwl Nyerere
 Mtuhumiwa ambaye kosa lake halikuweza kufahamika kwa haraka (katikatika) akipokea kichapo kutoka kwa askari polisi hao wawili mara baada ya kukataa amri iliyomtaka kutulia na kufungwa pingu
 Hapa mtuhumiwa alipogoma kupanda kwenye gari la polisi
Wakazi wa kigamboni Waliojitokeza kuona pambano hilo kati ya mwanachuo na askari
 PICHA KWA HISANI YA LUKAZA BLOG

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: