Rais
Mstaafu wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume akisalimiana na Mkuu wa Mkoa
wa Kaskazini Unguja Pembe Juma Khamis mara alipowasili katika Ufunguzi
wa Skuli ya Secondary huko Donge Muanda Kaskazini Unguja.
Rais
Mstaafu wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume akikata Utepe kuashiria
Ufunguzi wa Skuli ya Secondary huko Donge Muanda Kaskazini Unguja.
Rais
Mstaafu wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume akikunjuwa Kitambaa kuashiria
Ufunguzi wa Skuli ya Secondary huko Donge Muanda Kaskazini Unguja.
Mke
wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Mama Shadya Karume akitia saini Kitabu cha
Wageni mara baada ya kuhudhuria Ufunguzi wa Skuli ya Secondary huko
Donge Muanda Kaskazini Unguja.
Rais
Mstaafu wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume akipanda Mti katika Uwanja wa
Skuli mara baada ya kufungua skuli hio ya Secondary huko Donge Muanda
Kaskazini Unguja.
Rais
Mstaafu wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume akikagua baadhi ya madarasa
ya skuli ya Secondary ya Donge Muanda ilioko huko Kaskazini Unguja.
Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume akitoa hotuba yake ya kufungua skuli ya Donge Muanda ilioko huko Kaskazini Unguja ikiwa ni shamra shamra za miaka 49 ya Mapinduzi.
Rais
Mstaafu wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume katika picha ya pamoja na
Maofisa mbali mbali katika hafla ya ufunguzi wa skuli ya Donge Muanda
ilioko huko Kaskazini Unguja ikiwa ni shamra shamra za miaka 49 ya
Mapinduzi.
PICHA NA YUSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.



No comments:
Post a Comment