Muasisi wa Chadema, Edwin Mtei akiingia katika ukumbi wa mkutano huku akifuatana na Mwenyekiti wa Chadema, Freema Mbowe.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akifungua mkutano huo
Katibu Mkuu Dk. Willbroad Slaa akizungumza katika mkutano huo.
Wajumbe wa Kamati Kuu.
Mbunge
Kigoma, Zitto Kabwe akiwasikiliza kwa makini wajumbe wa kikao cha
dharura cha Baraza Kuu la Chadema kutoka mkoa wa Mtwara.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akimkabidhi
kadi ya uanchama wa chama hicho aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Bara wa
Chama cha NCCR-Mageuzi, Clemence Tara baada ya kujiunga na chama hicho.
Wajumbe wa mkutano.
PICHA KWA HISANI YA HABARI MSETO
No comments:
Post a Comment