HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » HIZI NI TASWIRA ZA MOTO MKUBWA ULIOTEKETEZA MADUKA YALIYOKO STENDI YA MWENGE JIJINI DAR ES SALAAM

IMG_3876 (640x427)
 Wafanyabiashara wa stend ya Mwenge iliyopo jijini Dar es Salaam wakiwa wanaokoa mali zao baada ya kutoke kwa moto leo.
IMG_3850 (640x427) - Copy
Hili ni duka mojawapo lililoteketea kwa moto kabisa

 IMG_3868 (640x427)
Maaskari waliweka uzio ili kulinda bidhaa za wafanyabiashara wa maduka yaliyotekete kwa moto leo Mwenge zisichukuliwe na wezi  waliokuwa kwenye tukio hilo.
IMG_3843 (640x427) 
 Chanzo cha moto huo inadaiwa kuwa ni hitilafu ya umeme.
IMG_3840 (640x427) - Copy 
Baadhi ya wafanya biashara wakiwa hawaamini kilichotokea baada ya moto kuteketeza maduka kwa moto leo kwenye stend ya mabasi madogo iliyoko Mwenge jijini Dar es Salaam

 IMG_3869 (640x427)
 Hili ni mojawapo ya maduka yaliyoteketea kwa moto leo kwenye stend ya mabasi madogo iliyoko Mwenge jijini Dar es Salaam
 IMG_3875 (640x427)
 Masalia ya bidhaa za maduka yaliyoteketea kwa moto leo kwenye Stend ya Mwenge zikiwa zimetapakaa chini baada ya wafanyabiashara kuokoa baadhi ya bidhaa zao
IMG_3838 (640x427) 
 Bidhaa zikiwa zimeokolewa nje ya maduka baada ya moto kutokea kwenye stenda ya Mwenge.
 Bidhaa zikiwa zimeokolewa
Bidhaa zikiwa zimeokolewa nje ya maduka yake baada ya moto kutokea kwenye stend ya Mwenge.

 Baadhi ya vitu vilivyoungua
Baadhi ya vitu vilivyoungua kwenye maduka yaliyoko kwenye stend ya mabasi madogo ya Mwenge.

Gari la zimamoto
Gari la zimamoto likiwa linaingia kwenye stend ya Mwenge iliyoko jijini Dar es Salaam ili kuzima moto ulioteketeza maduka
Waandishi wa habari wakiwa kazini baada ya maduka yaliyoko kwenye stend ya Mwenge jijini Dar es Salaam kuteketea kwa moto

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: