PICHA ZA TUKIO LA LA KIFO CHA PADRI MUSHI

Mwili wa Marehemu Pandri Mushi
 
Gari liliacha uelekeo na kugonga nyumba baada ya Padre Mushi kupigwa risasi (Shukurani ya picha: Francis Dande)
Waziri Dkt Nchimbi (wa pili kushoto) akiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mohamed Aboud na maafisa wengine walipotembelea eneo la tukio leo. (Shukurani ya picha: Francis Dande)
Hili ndilo gari alilokuwa amepanda padri Mushi

No comments

Powered by Blogger.