Binti huyo (kushoto) akiwa chini ya ulinzi wa polisi akitolewa ndani na kuingizwa kwenye gari. Hakuna
lugha nyepesi unayoweza kuzungumza zaidi ya kusema haya ni
maajabu ya mwaka 2013, kwani familia ya Masoud Kassim wa Karakata Ukonga
Dar imejikuta ikiingia kwenye mgogoro wa kisheria baada ya kuamua
kumfanyia ‘kitchen party’ mtoto wao wa miaka 13 aitwaye Rafia Masoud,
tayari kwa ndoa.
Binti huyo (kushoto) akiwa chini ya ulinzi wa polisi akiingizwa kwenye gari ambapo alipelekwa Kituo cha Polisi, Stakishari kwa mahojiano zaidi. Tukio hilo la kusikitisha na kuhuzunisha limetokea Jumatano ya wiki iliyopita ambapo Chanzo chetu kilipokuta Rafia akiwa katika sherehe hizo huku ndoa yake ikitarajiwa kufungwa leo Februari 2.
Akina mama walikokuwa katika sherehe hiyo wakitahamaki baada ya kachero wa polisi kujitambulisha
Binti huyo (kushoto) akiwa chini ya ulinzi wa polisi akiingizwa kwenye gari ambapo alipelekwa Kituo cha Polisi, Stakishari kwa mahojiano zaidi. Tukio hilo la kusikitisha na kuhuzunisha limetokea Jumatano ya wiki iliyopita ambapo Chanzo chetu kilipokuta Rafia akiwa katika sherehe hizo huku ndoa yake ikitarajiwa kufungwa leo Februari 2.
Akina mama walikokuwa katika sherehe hiyo wakitahamaki baada ya kachero wa polisi kujitambulisha
No comments:
Post a Comment