YANGA YAIFUNGA KAGERA SUGAR I-0
Simon Msuna wa Yanga akichuana na Malegesi Mwangwa wa Kagera Sugar,
timu zao zilipomenyana leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kagera
ilefungwa bao 1-0. Picha zaidi ni mpambano huo.
Simon Msuna akichuana na Muganyizi Martin wa Kagera Sugar
Said Bahanuzi wa Yanga akichuana na Benjamin Asukile,timu zao zilipomenyana leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kagera
ilefungwa bao 1-0. Picha zaidi ni mpambano huo.
Frank Domayo wa Yanga akichuana na Daudi Jumanne
Simon Msuna wa Yanga akichuana na Malegesi Mwangwa,
timu zao zilipomenyana leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kagera ilefungwa bao 1-0. Picha zaidi ni mpambano huo.
timu zao zilipomenyana leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kagera ilefungwa bao 1-0. Picha zaidi ni mpambano huo.
Haruna Niyonzima wa Yanga akichuana na Muganyizi Martin
Didie Kavumbagu wa Yanga akichuana na Juma Nade,timu zao zilipomenyana leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kagera
ilefungwa bao 1-0. Picha zaidi ni mpambano huo.
Kavumbagu wa Yanga aakiwa amelala baada ya kudaiwa kukwatuliwa kwenye
eneo la hatari mwa Kagera Sugar. Hata hivyo penati iliyotolewa licha ya
kusababisha ubishi lakini haikuza matunda baada ya mchezaji wa Yanga
aliyeipiga kuipaisha.
Refa akibishana na wachezaji wa Kagera kwa ajili ya penati hiyo.
Mashabiki wa Yanga wakiwa na furaha baada ya yanga kufunga goli moja.
PICHA ZOTE NA NKOROMO BLOG
Post a Comment