Ajali hii imetokea usiku wa kuamkia leo maeneo ya njia panda ya kwenye Isanga karibu na Hotel ya Lift Valey
Chanzo cha ajali mpaka sasa hakijajulikana
Hakuna mtu aliyepoteza maisha katika ajari hiyo iliyotokea usiku wa kuamkia leo
PICHA NA MBEYA YETU



No comments:
Post a Comment