Jeshi la polisi zanzibar limetoa mchoro wa sura ya aliyemuua Padre
Mushi. Mchoro huo umepatikana baada ya FBI na polisi Zanzibar kuwahoji
watu walioshuhudia tukio hilo la mauaji. Wananchi wakimwona mtu mwenye
sura hiyo aripoti polisi
CHANZO : ITV




No comments:
Post a Comment