Oscar akipewa kadi ya njano kwenye mchezo wa fainali ya Europa League kati ya Benfica na Chelsea
Rafael Benitez kocha wa muda wa Chelsea akifuatilia mchezo kwa makini
Torres aliifungia Chelsea goli la kwanza dakika ya 60 kwenye fainali ya Europa League kati ya Benfica na Chelsea
Torres aliifungia Chelsea goli la kwanza dakika ya 60 kwenye fainali ya Europa League kati ya Benfica na Chelsea
Torres akishangilia baada ya kuifungia Chelsea goli la kwanza kwenye fainali ya Europa League kati ya Benfica na Chelsea
Wachezaji wa Chelsea wakishangilia baada ya Torres kuifungia Chelsea goli la kwanza kwenye fainali ya Europa League kati ya Benfica na Chelsea
Jorge Jesus kocha wa Benfica akilalamika kwenye fainali ya Europa League
Jorge Jesus kocha wa Benfica akilalamika kwenye fainali ya Europa League
Ćscar Cardozo mchezaji wa Benfica akifunga mkwaju wa penati dakika ya 68 kwenye fainali ya Europa League kati ya Benfica na Chelsea
Wachezaji wa Benfica wakishangilia goli la Ćscar Cardozo baada ya kuisawazishia
timu yake kwa mkwaju wa penati kwenye fainali ya Europa League kati ya
Benfica na Chelsea
Branislav Ivanovic akiifungia Chelsea goli la kichwa kwenye dakika ya 90+3 kwenye fainali ya Europa League kati ya Benfica na Chelsea
Branislav Ivanovic akiifungia Chelsea goli la kichwa kwenye dakika ya 90+3 kwenye fainali ya Europa League kati ya Benfica na Chelsea
Branislav Ivanovic akishangilia baada ya kufunga goli la ushindi kwa Chelsea
Wachezaji wa Chelsea wakishangilia baada ya Branislav Ivanovic kuifungia Chelsea
goli la ushindi kwenye fainali ya Europa League kati ya Benfica na
Chelsea
Wachezaji wa Chelsea wakishangilia baada ya Chelsea kushinda 2- 1 kwenye mechi hiyo ya fainali ya Europa League kati ya Benfica na
Chelsea
Wachezaji wa Benfica wakiwa wameshika viuno baada ya kufungwa na Chelsea 2-1 kwenye mechi hiyo ya fainali ya Europa League kati ya Benfica na
Chelsea
Rafael Benitez akishangilia baada ya kutwaa ubingwa wa Europa League
Frank Lampard akiinua juu kombe la Europa League
Timu nzima ya Chelsea wakipiga picha ya pamoja baada ya kufuinga Benfica 2-1 kwenye mechi ya fainali ya Europa League kati ya Benfica na
Chelsea
Wachezaji wa Chelsea wakishangilia baada ya kutwaa kombe la Europa League
Timu nzima ya Chelsea wakipiga picha ya pamoja baada ya kufuinga Benfica 2-1 kwenye mechi ya fainali ya Europa League kati ya Benfica na
Chelsea
Branislav Ivanovic aliyeifungia goli la ushindi akiwa ameshika kombe
Torres aliyeifungia goli la kwanza akiwa anashangilia huku kashikilia kombela Europa League
Branislav Ivanovic aliyeifungia goli la ushindi akiwa ameshika kombe
Torres aliyeifungia goli la kwanza akiwa anashangilia huku kashikilia kombela Europa League
No comments:
Post a Comment