HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MAJAMBAZI WAVAMIA GARI NA KUPORA FEDHA MAENEO YA SAYANSI

Matundu matatu ya risasi katika kioo cha gari lililovamiwa na majambazi.
Pichani ndio matundu ya risasi zilivyorindima kwenye kioo cha dereva (risasi tatu) na kushoto risasi moja kama kionekanavyo kioo cha juu,mara majambazi hayo kufanikiwa kumjeruhi dereva sehemu ya bega na kufanikiwa kunyakua begi linalosadikiwa kuwa,lilikuwa na kiasi cha fedha shilingi milioni 40 na kutokomea nazo.

Wanausalama barabarani wakichukua taarifa eneo la tukio.
Majambazi yaliyokuwa na silaha aina ya SMG yakiwa na pikipiki aina ya Bajaj Boxer yamevamia gari ndogo aina ya VITZ N a kuwajeruhi watu wawili wenye asili ya asia na kupora kiasi cha shilingi milioni 40 .Tukio hili llimetokea Sayansi-Kijitonyama jijini Dar es Salaam
 Gari iliyokuwa imevamiwa na majambazi ikikokotwa na gari la polisi mara baada ya kushindwa kuwaka. (Picha na Issa Michuzi)

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: