Pia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Nishati na
Madini umesimamishwa kwa muda mpaka ufumbuzi wa tatizo la vurugu hizo utakapopatiwa suluhisho.
Kesho bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya Afrika Mashariki itajadiliwa.
Taarifa ya serikali bungeni kuhusu vurugu zilizotokea Mtwarailisomwa na Nchimbi badala ya PM,
Chanzo
kikuu cha vurugu ni kupinga gesi kusafirishwa kutoka Mtwara hadi Dar.
Vurugu zilianza kwa kusambazwa vipeperushi vya kuhamasishana kufanya
vurugu
Athari
Nyumba ya Mbunge imechomwa, ofisi za CCM kata, Nyumba na ofisi mbalimbali
watu
91 wamekatwa, hali hiyo imedhibitiwa jeshi la ulinzi limeenda kwa ombi
la RC ambapo wakiwa njiani kuelekea huko askari 4 wamefariki kwa ajali
ya gari
Nawapongeza askari waliofanya kazi katika mazingira magumu kurudisha hali ya amani
No comments:
Post a Comment