Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii na Watoto Ummy Mwalimu akiselebuka
Wakati wa kampeni Dhidi ya ugonjwa wa Fistula zilizofanyika jana katika
viwanja vya Nyerere [Nyerere Squere] Dodoma kulia ni Mjumbe Wa kamati
ya Bunge ya Maendelea ya jamii Mhe.Ritta Kabati na Kushoto ni Balozi wa
Vodacom Nchini na msaani wa Muziki wa kizazi Kipya Mwana F A
Akiendelea kutoa neno
Balozi
wa Chapa Vodacom, Mwana FA, akiwahamasisha wakazi wa Dodoma kuunga mkono
kampeni ya kumaliza tatizo la fistula ifikapo mwaka 2016 inayofadhiliwa
na Vodacom na Vodafone ya Uingereza kupitia hospitali ya CCBRT.
Msanii wa Mziki wa Kizazi Kipya Mwana FA akicheza sambamba na
Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii na Watoto Ummy Mwalimu na Mbunge Wa
Tabora Mjini Mhe. Aden Rage wakati wa kampeni za Ugonjwa wa Fistula
zilizofanyika katika Viwanja vya Nyerere Squere Jana.
Balozi
wa Chapa Vodacom, Mwana FA akendelea kuwaburudisha wakazi wa Dodoma
No comments:
Post a Comment