HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » JESHI LA POLISI SONGEA LAKAMATA MENO 18 TEMBO NA NOTI BANDIA


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Deudedit Nsimeki akiwa ameshika noti za bandia ambazo zilikamatwa wakati wa kuuza mahindi katika soko la Sodeko Manispaa ya Songea
Haya  ndio meno ya tembo ambayo yamekamatwa katika kijijicha Hanga yakiwa meno 18 ambayo yalikuwa yakisafirishwa kwenda Dar es salaam
Kweli watu  hawana huruma hayo ni meno ya tembo wadogo ambao walikuwa wakitegemewa kuwa watakuwa rasilimali ya taifa lakini masikini wawindaji haramu wamekatisha maisha ya tembo hao
Noti bandia zilizokamatwa Manispaa ya Songea katika soko la Sodeko, kwa mujibu wa kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma 
Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma limefanikiwa kukamata Vipande 18 vya Meno ya Tembo vikiwa kwenye Mfuko wa Salfeti. 
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Deusdedit Nsmeki amefanikisha kukamatwa kwa meno ya Tembo vipande 18 vikiwa kwenye Mfuko wa Salfeti maeneo ya Hanga Misheni wilaya ya Namtumbo


PICHA NA SONGEA HABARI

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: