HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MSANII BARNABA ANAKATAA KULA BAADA YA KUTOKWA NA MAMA YAKE MPENZI


Kiukweli inasikitisha sana tangu asubuhi hajatia kitu chochote tumboni analia ananyamaza,akipewa chakula hakitaki,mungu mjalie ndugu yetu umpe nguvu aweze kumzika mama yake kwa aman na upendo.
 Ndog wakijaribu kumbembeleza kula baada ya kukataa kula
Mazishi ni leo saa 10 katika makaburi ya Mburahati, kuanzia asubuhi saa 5 kutakuwa na misa maalum kwa ajili ya marehemu mama Barnabas. 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: