TIZAMA HAPA PICHA ZA MAREHEMU ALBERT MANGWEA ALIVYOPOKELEWA LEO KWENYE UWANJA WA NDEGE MWALIMU NYERERE


 Ndugu wa marehemu wakilia kwa uchungu
 Baadhi ya wanafamilia wakiwa na uzuni walipofika uwanjani kuja kuupokea mwili wa marehemu Albert Mangwea
 Wanahabari wakiwa kazini
 Baadhi ya wasanii waliokuja kuupokea mwili wa marehemu Albert Mangwea
 Msemaji mkuu wa kamati ya mazishi akizungumza na vyombo vya habari baada ya mwili wa marehemu Albert Mangwea kufika leo saa nane za mchana

 Ndugu wa marehemu wakizungumza na vyombo vya habari

  Mwili wa marehemu Albert Mangwea ukiwa umebebwa kuelekea kwenye gari lililokuja rasmi kuubeba mwili huo

 Gari lililobeba mwili wa marehemu Albert Mangwea likiondoka uwanjani


Hata wezi nao walikuwepo kijana aliwa amekamatwa na maasikari baada ya kuchomoa pochi
Baadhi ya wananchi waliofika kuushuhudia mwili wa Albert Mangwea

PICHA ZOTE NA PAMOJAPURE BLOG

No comments

Powered by Blogger.