HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » TIZAMA HAPA TUKIO ZIMA KUANZIA KWENYE MKUTANO MPAKA BOMU LINALIPUKA KWENYE MKUTANO WA CHADEMA MKOANI ARUSHA JANA JIONI

Mh. Lema akihutubia wananchi kwenye mkutano uliofanyika hapo jana kwenye uwanja wa SOWETO(Picha na Audiface Jackson)
 Mh. Mbowe alifika kwenye mkutano kwa kutumia herikopter
 Umati mkubwa wa watu walioudhulia mkutano wa chadema mkoani Arusha

 Mh. Mbowe akiingia uwanjani
 Mh. Mbowe akielekea kwenye stage kwa ajili ya kuwahutubia wananchi waliokuwa wamefika kwenye mkutano huo.
 Mh. Mbowe akitoa saluti kwa wananchi waliokuwa kwenye mkutano huo


 Amani Ngolugwa akiongea na wananchi wakati wa mkutano huo wa CHADEMA 





 Mh. Mbowe akiwahutubia wananchi wakati wa mkutano huo uliofanyika Arusha 
Mkutano ukiendelea 
 Hawa ndio inasadikika ndio walioadhiliwa na mlipuko wa bomu na pia inasadikika kuna baadhi yao walifariki hapohapo
 Majeruhi wakiwa wamelala chini baada ya kinachosemekana ni bomu kulipuka

ENDELEA  KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA


«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: