UPDATE ZA MSIBA WA MANGWEA:MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA HAUTAWEZA KUFIKA LEO SIKU YA JUMAPILI
Kamati ya msiba tutaanaomba kutoa taarifa kwamba mwili wa
marehemu ndugu yetu Albert Mangea
hautafika siku ya jumapili ya tarehe 02/06/2013 kama ilivyokuwa imepangwa hapo
awali, hii ni kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu.
Kwa sasa tunasubiri taarifa kamili kutoka
kwa wenzetu na wawakilishi wetu waliopo nchini Afrika Kusini, mara tutakapopata
taarifa hizo tutawafahafahamisha zaidi
Tunaomba radhi kwawatanzania
wote kwa usumbufu wote uliojitokeza tushirikiane na tuwe na uvulivukwa
haki hii
Post a Comment