HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » WANANCHI WAMSHUSHIA KIPIGO KIKALI KIJANA ANAYESADIKIKA KUWA NI MPIGA NONDO MJINI IRINGA

Huyu ni miongoni mwa wapiga nondo katika mkoa wa IRINGA akipokea kichapo kikali huku akiwa chini ya ulinzi mkali kuelekea kituo cha polisi, jamaa huyu anayefahamika kwa jina la MASTER, Amekamatwa mara tuu baada ya mwenzake kukamatwa leo hii asubuhi akidaiwa naye kuhusika na uharifu huo. hii imetokea mara tuu baada ya matukio ya namna hiyo kulipotiwa mara kwa mara siku za karibuni.(Picha na Lewis Mbonde)

Wananchi wakiwa hawaogopi askari na wakiendelea kumpa kichapo mharifu huyo uku safari ya kuelekea kituoni ikiendelea(Picha na Lewis Mbonde)


 Watu wakiwa wengi kusaka na kuwakabidhi watuhumiwa hao mikononi mwa polisi 
Wananchi wakishangaa kilichojili leo mjini Iringa



«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: