HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » EXCLUSIVE:TIZAMA HAPA PICHA TATU ZA AGNES MASOGANGE ALIZOPOST LEO JIONI JULY 09,2013 KWENYE INSTAGRAM

 Agnes Masogange aliipost picha hii akiwa ameandika "SHUT UP AND DRIVE"  yuko  na mpenzi wake huko Afrika ya kusini.

Kikubwa cha kujiuliza hapa tukae upande gani maana Gazeti la leo la Nipashe limesema Agnes Gerald kwa jina lingine anaitwa Agnes Maasogange ameshikwa na madawa ya kulevya ila muda huu kapost picha tatu na pia akiwatakia waislamu mfungo mwema.
Au kuna mchezo hapa tunachezewa ili isionekane nani muhusika wa jambo ili la madawa ya kulevya. Na pia jina analolitumia kwenye Instagram ni aggnesfineassgirl 
KWA MAELEZO YA KUSHIKWA KWA WATANZANIA HAO WAWILI SOMA KWA KUBOFYA HAPA CHINI 
NIPASHE/ AFRICA REVIEW/
THE CITIZEN/ALLAFRICA

Picha hii aliandika maneno haya "KEEP CALM MSIACHE KUONGEA"
Picha hii Agnes masogange alikuwa anawatakia mfungo mwema kwa ndugu zetu waislamu ambapo alicomment kwa kusema "MFUNGE SALAMA"

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: