HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » ABIRIA 6 NA RUBANI 1 WA NDEGE YA TANZANIAIR WANUSURIKA KIFO

Ndege ndogo ya shirika la Tanzanair iliyokuwa ikitokea Bukoba kwenda Dar Es Salaam imelazimika kutua kwa dharura katika ziwa Manyara baada ya injini yake moja kuzimika ghafla ikiwa angani .Ndege hiyo ilikuwa na abiria 6 na rubani 1 ambapo wote wamejeruhiwa na kukimbizwa katika  Hospitali ya Seliani Mijini Arusha kwa matibabu.

ITV TANZANIA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: