HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » ASHANTI UNITED YAKUBALI KIPIGO CHA 5-1 KUTOKA KWA YANGA

  Wachezaji wa Ashanti United wakisalimiana na wachezaji wa Yamnga kabla ya mchezo. (Picha na Habari Mseto Blog) 
 Wachezaji wa Yanga wakiwa  pamoja.
 Beki wa Ashanti United, Emanuel Kichiba (kushoto), akichuana na kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 5-1.

Endelea kutizama tukio hili kwa kubofya hapa chini

 Beki wa Ashanti United, Emanuel Kichiba (kushoto), akichuana na kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 5-1.
Wachezaji wa Yanga wakishangilia ushindi wa bao 5-1.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: