headlines

HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI:MTOTO MWENYE KICHWA KIKUBWA WA MIEZI 15 AFANYIWA OPERATION YA KUPUNGUZWA KICHWA HICHO
VIJIMAMBO


Hii ni picha ya mtoto Roona Begum, kabla na baada ya kufanyiwa upasuaji tizama tukio lote hapa toka wanachangisha pesa, mtoto huyu anapelekwa hospitalini na kutibiwa mpaka anarudi nyumbani
  Mama wa mtoto, Fatima Khatun akimbusu mwanae Roona Begum ambaye ana miezi kumi na tano(15) katika kijiji cha Jirania kilichoko nchini India baada ya kumalizika kwa michango iliyokuwa inaombwa kwa watu tofauti tofauti ili kuweza kutimia dollar $52,000 kwa ajili ya upasuaji wa wa kichwa cha mtoto huyo. Mtandao huu  MyGoodAct. ndio ulisaidia upatikanaji wa pesa hizo
Roona Begum akiwa kwenye hospitali kwa ajili ya kusubilia  operation ya kichwa kwenye hospitali ya Gurgaon iliyoko New Delhi nchini India 
Mama wa mtoto, Fatima Khatun akiwa  na mwanae Roona aliyelazwa ili kuangalia uwezekano wa kichwa hicho kukipunguza kwenye hospitali ya Gurgaon iliyoko New Delhi nchini India 
Dr Vaishya akimpima mtoto Roona kabla ya kufanyiwa operation ya kupunguza kichwa kwenye hospitali ya Gurgaon iliyoko New Delhi nchini India

Endelea kutizama tukio hili kwa kubofya hapa chini

Roona akiwa amelala kwenye hospitali ya Gurgaon iliyoko New Delhi
Baba mzazi,  Abdul Rahman (Kushoto) na mama yake mzazi,  Fatima Khatun (kulia) wakiwa hospitalini wakimuuguza  mtoto wao Roona kwenye hospitali ya Gurgaon iliyoko New Delhi nchini India 
Tizama misuri ya kichwa cha Roona ambayo inaonekana kama kushwa kufanya kazi vizuri kutokana na ukubwa wa kichwa
Mtoto Roona Begum akiwa amelala akisubilia kufanyiwa operation kwenye hospitali ya Gurgaon iliyoko New Delhi nchini India 

Madakitari wakianza kazi yao
Baada ya kufungwa vizuri mtoto Roona alipelekwa kwenye chumba cha kufanyia upasuaji
Mama na Baba wa mtoto Roona wakiwa nje ya chumba cha upasuaji wakiwaachia madaktari wafanye kazi yao
Upasuaji ukiendelea kwa umakini
Huu ni mwonekano wa kichwa cha mtoto Roona baada ya kukipunguza
Baada ya mtoto Roona kumaliza kufanyiwa upasuaji akipelekwa kwenye chumba maalum kwa ajili ya uangalizi
Baba na mama walipewa nafasi ya kumwangalia mtoto wao baada ya kumaliza kufanyiwa upasuaji
 Mama akiwa na mtoto wake hospitalini akisubilia apone vizuri

Hapa ni baada ya mtoto Roona Begum kupona vizuri akiwa amebebwa na mama yake mzazi
Mama akiwa amembeba mwanane Roona  na Baba yake(kulia aliyekaa) wakiwa kwenye picha ya pamoja na jopo zima la madaktari waliohusika katika upasuaji huo wa kichwa cha mtoto Roona Begum kwenye hospitali ya Gurgaon iliyoko New Delhi nchini India 
Familia ikiwa imefika  kijijini kwao  Jirania kusini mashariki mwa India baada ya mtoto wao kupona kuruhusiwa kurudi nyumbani


CHANZO: NEWSDAILY NEWS  NA KAMBI NZIMA YA PAMOJAPURE BLOG


«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: