HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MAGARI YAGONGANA NA KUSABABISHA FOLENI KUBWA MAENEO YA BUGURUNI LEO JIONI

 Tax iliyogongwa na Scania ikiwa katikati ya barabara na kuzuia magari yote yanayopita barabara ya Mandela maeneo ya Buguruni jijini  Dar es Salaam leo jioni
 Madrva wa magari hayo wakimsubilia Askari wa Usalama wa barabarani ili aweze kupima ajari hiyo
 Bodaboda zikizunguka ili kukwepa foleni hilo maana kulikuwa hakuna hata nafasi ya kupita pikipiki

ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI


 Hili ndilo gari lililogonga tax
 Hii ndio foleni
Foleni iliyosababishwa na kugongana kwa magari na kufunga barabara

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: