HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » YALIYOJIRI KWENYE MSIBA WA MSANII WA FILAMU

Mama mzazi wa Malisa akiwa na uso wa huzuni.
 Dada wa marehemu (wa tatu kushoto) akilia kwa uchungu baada ya msanii wa filamu, Chuchu Hansi (aliyeinamisha kichwa) kuingia na kuangua kilio.

ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI
 
 Wasanii wakongwe wa filamu, Devotha Mbaga na Vanitha wakilia kwa uchungu.
 Waombolezaji wakiwa na nyuso za huzuni.
VILIO vimetanda msibani kwa msanii wa filamu za Kibongo, Zuhura Maftah ‘Malisa’ aliyefariki dunia jana akiwa hospitali ya Hindu  Manndal alikokuwa amelazwa akisumbuliwa na maumivu makali ya kichwa.
Msiba wa msanii huyo upo nyumbani kwa dada yake Mikocheni na mazishi yatafanyika kesho makaburi ya Kinondoni.
 Global Publisher

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: