HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » MWIZI WA GUNIA LA MKAA AOKOLEWA NA POLISI BAADA YA WATU WENYE HASIRA KUTAKA KUMSULUBISHA


 Gunia la mkaa ambalo kijana mmoja ambae jina lake halikupatikana, alikutwa amelichukua na kutokomea nalo.
 Mwizi wa gunia la mkaa akiwa amekaa nalo ndani ya gari la polisi mara baada ya kuokolewa na polisi hao, ili watu wenye hasira kali wasimsulibishe. Kijana huyo aliiba gunia la mkaa katika bar moja maeneo ya Makao -Mapya jijini Arusha

 ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI

Watu wenye hasira kali waliokuwa wakitaka mwizi wa mkaa ashushwe na polisi ili wamkomeshe kidogo 

HABARI NA WAZALENDO 25 BLOG

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: