HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » RAIS KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULSHO KUTOKA KWA BALOZI WA ITALIA LEO JIJINI DAR


 Rais Mh.  Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi mpya  Dkt. Luigi Scotto (Kulia) kutoka Italia  katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu- Dar es Salaam..
 Rais Mh. Dkt, Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na Balozi mpya anaewakilisha nchi ya  Italia nchini Tanzania Balozi  Dkt. Luigi Scotto( kushoto) leo Ikulu Dar es Salaam.
 Balozi mpya anaewakilisha nchi ya Italia nchini Tanzania Dkt, Luigi Scotto (katikati waliovaa suti) pamoja na maafisa wakuu wa Itifaki wakiwa katika wimbo wa taifa.leo katika hafla hiyo ya utambulisho Ikulu Dar es Salaam

ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI
 
 Rais  Mh.Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akisikiliza taarifa ya utambulisho kutoka kwa  Balozi  mpya wa Italia nchini Tanzania Mh, Dkt. Luigi  Scotto (kulia) leo  Ikulu Dar es Salaam.
Balozi mpya wa Italia nchini Tanzania Mh. Dkt. Luigi Scotto akisaini kitabu cha wageni leo Ikulu jijini Dar es Salaam alipokwenda kuwasilisha hati za utambulisho kwa Mh, Rais Dkt. Jakaya Kikwete(hayupo pichani). 
Bolozi mpya wa Italia nchini Tanzania Mh. Dkt, Luigi Scotto (kulia) akisalimiana na baadhi ya maafisa  kutoka Wizara ya Mambo ya Nje, leo katika hafla hiyo Ikulu jijini Dar es Salaam.
 Picha zote na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: