HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » RAISI WA KENYA UHURU KENYATA AMEWAOMBA WAKENYA KUWA WATULIVU

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyata amewaomba wakenya kuwa watulivu wakati huu  ambapo vikosi vya usalama vinafanya jitihada kuhakikisha watu waliobaki kaitka jengo la WEST GATE wanaokolewa huku akisisitiza kuwa serikli yake itapambana na magaidi popote pale walipo.
Rais Kenyatta ametoa kauli hiyo  wakati akihutubia taifa jana  juu ya tukio la kuuwawa kwa watu wapatao 68 na wengine zaidi ya 200 kujeruhiwa,ambapo alitoa hotuba hiyo  mbele ya ya viongozi mbalimbali  wa kisiasa akiwemo aliekuwa waziri mkuu wan chi hiyo  raila odinga. Aidha rais uhuru kenyatta amesema vita hii  haihusu dini yoyote wala kabila lolote bali ni vita ya ugaidi.
 
ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI
 
Tukio hilo limetokea tangu jumamosi sept 21 ambapo mpaka sasa bado kuna watu wameshikiliwa na wavamizi hao ndani ya jengo hilo la WEST GATE MALL lakini serikali ya kenya imewahakikishia wananchi kuwa inafanya jitihada zote kuwaokoa watu walioko ndani ya jengo hilo.
 Askari wa Kenya wakiwa katika harakati za uokoaji

 Hali ilivyokuwa katika Jengo la WEST GATE MALL
 
CHANZO: ITV TANZANIA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: