Watuhumiwa wa uhamiaji haramu wakiwa katika kambi ya Kagemu nje kidogo ya manispaa ya Bukoba wakisubiri kuhojiwa
Anaonekana Mkuu wa Oparesheni Kimbunga kwa upande wa Idara ya Uhamiaji Mkoani Kagera DCI. Mvano Abdu akiwa msituni pamoja na makamanda wakati wa zoezi la Oparesheni Kimbunga likiendelea
Maofisa uhamiaji wakiwajibika
Wahamiaji haramu wakisubiri kurudishwa makwao katika kambi ya Biharamulo
Wahamiaji raia wa Rwanda wakipata chai hapa ni katika kambi ya Kagemu nje kidogo ya Manispaa ya Bukoba
Askari akihakikisha kila mhamiaji anapata haki yake bila kusumbuliwa
Habari hii ni Kupitia Bukobawadau na picha kwa hisani ya Mwanahabari Dullah kutoka mipakani mkoani Kagera
Anaonekana Mkuu wa Oparesheni Kimbunga kwa upande wa Idara ya Uhamiaji Mkoani Kagera DCI. Mvano Abdu akiwa msituni pamoja na makamanda wakati wa zoezi la Oparesheni Kimbunga likiendelea
Maofisa uhamiaji wakiwajibika
Wahamiaji haramu wakisubiri kurudishwa makwao katika kambi ya Biharamulo
ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI
Wahamiaji raia wa Rwanda wakipata chai hapa ni katika kambi ya Kagemu nje kidogo ya Manispaa ya Bukoba
Askari akihakikisha kila mhamiaji anapata haki yake bila kusumbuliwa
Habari hii ni Kupitia Bukobawadau na picha kwa hisani ya Mwanahabari Dullah kutoka mipakani mkoani Kagera



No comments:
Post a Comment