HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » SIMBA YAKUBALI YAISHE KWA MBEYA CITY

 Mshambuliaji wa Simba, Haruna Chanongo akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Mbeya City, Yohana Morris katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2. (Picha na Francis Dande) 
Moja ya hekaheka katika lango la Mbeya City.  

 ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI

 Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe akishangilia moja ya magoli aliyoifungia timu yake ambapo katika mchezo huo alifunga mabao mawili.
 

 
 

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: