HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO WA KUDAI MCHAKATO HURU WA KATIBA MPYA

 Tundu Lissu.
 Mabele Marando.
Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi,  James Mbatia.

 ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI

 
Mbunge wa Ubungo (Chadema),  John Mnyika.
 Askofu Kakobe.
 Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Azaveli Lwaitama. 
Wenyeviti wa vyama vya upinzani wakiwa wameshikina mikono kuonesha mshikamano wao wakati wa mkutano wa kuwahamasisha wananchi kuungana na kudai mchakato huru wa katiba mpya unaoshirikisha wananchi wote . Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa ADC, Lucas Limbu  Mwenyekiti wa NLD, Emmanuel Makaidi, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba na Mwenyekiti wa (UPDP), Fahmi Dovutwa. 

Umati wa watu waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa kuwahamasisha wananchi kuungana na kudai mchakato huru wa katiba mpya unaoshirikisha wananchi wote uliofanyika leo kwenye viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)
 Umati uliojitokeza leo.
 Tunafuatilia kwa makini mkutano.....
 Wafuasi wa CUF wakifuatilia mkutano huo.

HABARI NA HABARI  MSETO BLOG

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: