HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » WATU ZAIDI YA 80 WAFARIKI DUNIA BAADA YA BOMU KULIPUKA KANISANI NCHINI PAKSTANI

 Mzee akilia baada ya kaka yake kufariki kwenye kanisa  lililoko Peshawar nchini Paksitan baada ya kulipuliwa na bomu
Mama akiwa ameokolewa kutoka kwenye kanisa hilo lililolipuka bomu siku ya jumapili
Kijana mmoja akiwasiliana na ndugu kwa kutumia simu ya mkononi baada ya mlipuko huo kutokea kwenye kanisa lililoko Peshawar nchini Paksitan 

 ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI


Mama akiwa kainamisha kichwa kwa masikitiko baada ya kanisa hilo kulipuliwa siku ya jumapili huko Peshawar nchini Paksitan
Mama akilia baada ya kumpoteza mwanae pamoja na mume wake baada  mlipuko kutokea kanisani huko Peshawar nchini Paksitan
Wananchi wenye hasira kali wakimtoa Askari kwenye eneo la kanisa hilo lililolipuliwa
Maandamano yalifanyika ili kupinga ukatili uliofanywa dhidi ya wakristu nchini Pakstani







SOURCE: YAHOO

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: