Mwanamuziki Nana Richard Abiona 'Fuse ODG' akiwapagawisha wakazi wa jiji la Dar.
Akipiga saluti kwa mashabiki waliofurika katika Viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama usiku wa kuamkia leo.
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya ambao wako chini ya lebo ya Bihts
wakiongozwa na Mabeste katika jukwaa la Viwanja vya Ustawi wa Jamii jana
ndani ya shoo ya Azonto.
Msanii Vanessa Mdee pamoja na Gosby wakiwa jukwaani jana katika usiku wa Azonto
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya ambao wapo katia lebo ya Bihts, mbele
yao ni Vanessa Mdee mara baada ya kumaliza shoo yao jana usiku katika
usiku wa Azonto
Msanii Snuara anayetamba na kibao cha Majanga ambapo hivi karibuni
ametoa ngoma nyingine inayokwenda kwa jina la Nimevurugwa akitumbuiza
jana katika viwanja hivyo kabla ya kupanda jukwaani msanii Fuse ODG
Snura akicheza sambamba na wacheza shoo wake jukanii hapo
Aika & Nahreel wanatoa burudani nzuri jukwaani.
On stage, 'jux' means busines
Banana akiwa na Band yake jukwaani
'Menina' anatoa burudani kali jukwaani.
'Wakazi' anatoa burudani sasa hivi jukwaani.
Watu walikuwa wa kutosha
Fuse akiperform
Gosby akiwa jukwaani akitoa burudani kali.
H Baba' sio mchoyo, katoa pete.
H Baba' sio mchoyo, katoa pete.
M Rap Lion kutoka 'B Hit's Music Group' akitoa burudani kali jukwaani.
M Rap Lion na Dj Choka wakitoa burudani jukwaani
Madee na Chid Benz wakitoa burudani kali
Vanessa Mdee na Gosby wakitoa burudani kali jukwaani..!!!!!!
snura akitoa burudani moja kali
Tunda Man akitoa burudani kali
Walter Chilambo akitoa burudani kali jukwaani
Watu walikuwa ni wakutosha
ENDELEA KUTIZAMA TUKIO HILI KWA KUBOFYA HAPA CHINI
Aika & Nahreel wanatoa burudani nzuri jukwaani.
On stage, 'jux' means busines
Banana akiwa na Band yake jukwaani
'Menina' anatoa burudani kali jukwaani.
'Wakazi' anatoa burudani sasa hivi jukwaani.
Watu walikuwa wa kutosha
Fuse akiperform
Gosby akiwa jukwaani akitoa burudani kali.
H Baba' sio mchoyo, katoa pete.
H Baba' sio mchoyo, katoa pete.
M Rap Lion kutoka 'B Hit's Music Group' akitoa burudani kali jukwaani.
M Rap Lion na Dj Choka wakitoa burudani jukwaani
Madee na Chid Benz wakitoa burudani kali
Vanessa Mdee na Gosby wakitoa burudani kali jukwaani..!!!!!!
snura akitoa burudani moja kali
Tunda Man akitoa burudani kali
Walter Chilambo akitoa burudani kali jukwaani
Watu walikuwa ni wakutosha























No comments:
Post a Comment