HABARI

Theme images by kelvinjay. Powered by Blogger.

MATUKIO

MICHEZO

SIASA

» »Unlabelled » PROFESA JAY AKANUSHA TAARIFA KUWA ATAPERFORM VIWANJA VYA LEADERS KESHO, WATU WAHACK AKAUNT ZAKE ZA TWITTER NA FB

Kuna mchezo mchafu unaendelea katika mitandao ya kijamii!! Hackers wameiingilia akauti za Profesa Jay za facebook na Twitter na kuandika kuwa ataperform katika show itakayofanyika katika viwanja vya Leaders, Dar es salaam.
Akiongea na Gadner G. Habash kwa njia ya simu, Profesa Jay amesema haelewi chochote kuhusu tangazo hilo lilichoandikwa kwenye akaunti hizo. “daah, jamaa wabaya hao, wameshaingilia akaunti yangu.” Amesema Profesa.

 ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFA HAPA CHINI

Binafsi nimepata nafasi ya kuongea na Profesa Jay kupitia simu ya Gadner, ambapo aliniuliza maswali kuhakikisha kama kweli ni akaunti zake, na baada ya kumueleza na kugundua ni yake,ameeleza kuwa akaunti yake ya Twitter alikuwa ameiunga na ile ya facebook hivyo itakuwa wamepata access ya zote.
Muda mfupi uliopita, Profesa ameandika kupitia akaunti hiyo hiyo ya twitter:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments: